Makamu wa Rais awasili mkoani Songwe kwa ajili ya ziara ya kikazi
Makamu wa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan amewasili
Mkoani Songwe na kupokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Songwe Chiku Gallawa katika
uwanja wa Ndege wa kimataifa Songwe mapema leo kwa ajili ya ziara ya
kikazi ya siku tano.
Picha na Songwe RS.
No comments: