Timu ya Simba yawasili salama nchini Uturuki
Wasiliana na BMG kupitia 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com kwa huduma za Habari na Mangazo.
Timu ya soka
ya Simba imewasili salama nchini Uturuki ambako imeweka kambi kwa ajili ya
kujiandaa na msimu mpya wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara pamoja na michuano ya
kimataifa. Pichani ni wachezaji, benchi la ufundi likiongozwa na Kocha
Msaidizi, Masoud Djuma walipowasili
nchini humo.
Picha na Rabi Hume
No comments: