Hii ajali imetokea wilayani Kwimba
Wasiliana na BMG kupitia 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com kwa huduma za Habari na Mangazo.
Na George Binagi-GB Pazzo, BMG
Ajali hii
imetokea jana Agosti 11, 2018 katika barabara inayoelekea mjini Kwimba, eneo la
Bungulwa ambapo inaelezwa kwamba dereva wa gari lenye nambari za usajili T.490
BDN Toyota Mark II alishindwa kumkwepa mtembea kwa miguu aliyekuwa akikatisha
barabara na kumgonga na kisha gari kupinduka.
Kamanda wa polisi mkoani Mwanza, Ahmed Msangi akijionea gari lililopinduka
Majeruhi akiwahishwa hospitalini
Na George Binagi-GB Pazzo, BMG
No comments: