Kauli ya kwanza ya DC mpya wa Ilemela baada ya kuanza kazi
Wasiliana na BMG kupitia 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com kwa huduma za Habari na Mangazo.
Mkuu mpya wa
wilaya Ilemela Mhe.Dkt.Severine Lalila jana amemwakilisha Mkuu wa Mkoa Mwanza
Mhe.John Mongella kwenye ufunguzi wa maonesho ya Nane Nane Kanda ya Ziwa
Magharibi yanayofanyika uwanja wa Nyamhongolo Jijini Mwanza na akatumia fursa
hiyo kutoa kauli yake ya kwanza akiwa kazini baada ya kuapishwa juzi.
Na George Binagi-GB Pazzo, BMG
No comments: