Mapokezi ya Rais Mstaafu Benjamini Mkapa Jijini Mwanza
Wasiliana na BMG kupitia 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com kwa huduma za Habari na Mangazo.
Mkuu wa Mkoa
Mwanza Mhe.John Mongella (kulia), akisalimiana na Rais Mstaafu awamu ya tatu
Mhe.Benjamin Mkapa (kushoto), baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa
Mwanza.
Mhe.Mkapa ambaye
pia ameambatana na mkewe Mama Anna Mkapa amewasili Jijini Mwanza, akiwa njiani
kuelekea Bariadi mkoani Simiyu kwenye kilele cha Maonesho ya Nane Nane
yanayofanyika kitaifa kwenye uwanja wa Nyakabindi.
Picha na Mood, TZA
No comments: