Ulinzi kuimarishwa Jijini Mwanza kwa kamera za kisasa
Wasiliana na BMG kupitia 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com kwa huduma za Habari na Mangazo.
Uongozi wa kampuni
mpya ya ulinzi ya “Power Shield Security Services Ltd” iliyozinduliwa jana
Jijini Mwanza, umeahidi kuimarisha hali ya ulinzi na usalama kwa kutumia askari
wake wenye weledi wa hali ya juu pamoja na vifaa vya kisasa ikiwemo kamera.
PIA SOMA Mkuu wa Mkoa Mwanza azindua kampuni ya “Power Shield Security Services Ltd”
No comments: