Kila sekunde 15 mfanyakazi hupoteza maisha, OSHA yaonya waajiri
Wasiliana na BMG kupitia 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com kwa huduma za Habari na Mangazo.
SOMA OSHA kuanzisha Oparesheni Maalum kwa waajiri wote nchini
Akizungumza jana
kwenye semina kwa wanahabari mkoani Mwanza, Kaimu Mtendaji Mkuu wakala wa usalama
mahala pa kazi OSHA, Khadija Mwenda alisema wakala unatarajia kuanza oparesheni
maalum kuanzia mwezi huu hadi Disemba 2018 ili kuhakikisha waajiri wote
wanatimiza vigezo vyote vya usalama mahala pa kazi.
Kaimu Mtendaji Mkuu wakala wa usalama mahala pa kazi OSHA, Khadija Mwenda
Tazama BMG Online Tv ahapa chini
SOMA OSHA kuanzisha Oparesheni Maalum kwa waajiri wote nchini
No comments: