Wachimbaji wadogo wa madini wamshangaza Naibu Waziri Biteko
Wasiliana na BMG kupitia 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com kwa huduma za Habari na Mangazo.
SOMA>>>BUNDA: Biteko atoa maamuzi sakata la mwekezaji kuwatimua wanakijiji
Naibu Waziri
wa Madini Doto Biteko amewataka wachimbaji wadogo wa dhahabu katika machimbo ya
Kunanga yaliyopo Bunda mkoani Mara kuhakikisha wanafanya shughuli zao kwa
kuzingatia sheria ikiwemo kulipa mrahaba serikalini.
Biteko
alitoa kauli hiyo alipofanya ziara katika machimbo hayo na kushangazwa na hatua
ya wauzaji na wanunuzi wa madini katika mialo iliyo katika machimbo hayo kulipa
takribani shilingi 250,000 kwa serikali ya Kijiji cha Kunanga lakini hakuna
malipo yoyote yanayofanyika kwa halmashauri ama serikali kuu.
SOMA>>>BUNDA: Biteko atoa maamuzi sakata la mwekezaji kuwatimua wanakijiji
No comments: