Kiwanda cha chupa Mkuranga mkoani Pwani
Wasiliana na BMG kupitia 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com kwa huduma za Habari na Matangazo.
Kampuni ya
Kioo Ldt inayochimba mchanga wa madini ya kutengeneza chupa katika Kijiji cha
Vikindu wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani, imeahidi kushiriki vyema katika miradi
mbalimbali ya maendeleo kupitia fedha za huduma za jamii wilayani humo.
Afisa
Msimamizi wa kampuni hiyo, Richard Kisyombe anaeleza hayo mbele ya Naibu Waziri
wa Madini Doto Biteko aliyefanya ziara katika machimbo hayo Oktoba 23, 2018.
Biteko pia
alitembelea kiwanda cha kutengeneza chupa cha kampuni hiyo na kuutaka uongozi
wake kuandaa mpango kazi wa namna itakavyoshiriki shughuli za maendeleo.
Tazama BMG Online TV hapa chini.
SOMA>>>Biteko awataka wawekezaji kuandaa mipango ya kuhudumia wanajamii
No comments: