Rais Magufuli akutana na wakimbiza Mwenge wa Uhuru mwaka huu 2018
Wasiliana na BMG kupitia 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com kwa huduma za Habari na Mangazo.
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea taarifa
kutoka kwa Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa na Waziri katika Ofisi ya Waziri
Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu Mhe. Jenista
Mhagama walioongozana na wakimbiza Mwenge wa Uhuru mwaka huu 2018 alipokutana
na kufanya nao mazungumzo Ikulu jijini Dar es salaam leo Oktoba 15, 2018.
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya
pamoja na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri katika Ofisi ya Waziri Mkuu
anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu Mhe. Jenista
Mhagama na wakimbiza Mwenge wa Uhuru mwaka huu 2018 alipokutana na kufanya nao
mazungumzo Ikulu jijini Dar es salaam. Picha na Ikulu
No comments: