LIVE STREAM ADS

Header Ads

Wachimbaji madini Simanjiro watakiwa kuwa watulivu

Wasiliana na BMG kupitia 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com kwa huduma za Habari na Mangazo.

Naibu Waziri wa Madini Mhe. Mwl. Doto Mashaka Biteko akizungumza na wachimbaji wa madini ya vito (Ruby) katika machimbo ya Kitwai A, wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, hii leo Oktoba 08, 2018 ambapo amewataka wasio na leseni ya uchimbaji kuwa watulivu na kusitisha shughuli zao wakati serikali inashughulikia maombi yao.

No comments:

Powered by Blogger.