RC Mwanza aagiza ununuzi wa vifaa katika Kituo cha Afya Karume ufanyike haraka
Wasiliana na BMG kupitia 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com kwa huduma za Habari na Matangazo.
SOMA>>> Wananchi wafunguka Ukarabati wa Kituo cha Afya Karume Mwanza
Na George Binagi-GB Pazzo, BMG
Mkuu wa Mkoa
Mwanza, Mhe. John Mongella jana amefanya ziara katika Kituo cha Afya Karume,
Manispaa ya Ilemela na kushtushwa na uhaba wa vifaa tiba kwenye majengo mapya
yaliyojengwa na serikali kupitia utaratibu wa “Force Account”.
Mhe.
Mongella ametoa muda wa siku saba kwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilemela na
Mganga Mkuu wa Manispaa hiyo kuhakikisha majengo hayo yanaanza kufanya kazi
kama ilivyokusudiwa.
Tazama BMG Online TV hapa chini
SOMA>>> Wananchi wafunguka Ukarabati wa Kituo cha Afya Karume Mwanza
No comments: