LIVE STREAM ADS

Header Ads

"Kuna watu wanatumia vibaya jina langu"- Mabula

Wasiliana na BMG kupitia 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com kwa huduma za Habari na Mangazo.

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Angeline Mabula amewataka watendaji wa Halmashauri nchini kutimiza majukumu wao kwa mujibu wa sheria na si kutumia jina lake.

Mhe. Dkt. Mabula ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Ilemela mkoani Mwanza amesema wapo baadhi ya watendaji wanapokuwa wakitimiza majukumu yao ikiwemo kuendesha zoezi la bomobomoa, huwaeleza wananchi kwamba yeye ndiye amewatuma. 
Tazama BMG Online TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.