"Kuna watu wanatumia vibaya jina langu"- Mabula
Wasiliana na BMG kupitia 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com kwa huduma za Habari na Mangazo.
Naibu Waziri
wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Angeline Mabula amewataka
watendaji wa Halmashauri nchini kutimiza majukumu wao kwa mujibu wa sheria na
si kutumia jina lake.
Mhe. Dkt.
Mabula ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Ilemela mkoani Mwanza amesema wapo
baadhi ya watendaji wanapokuwa wakitimiza majukumu yao ikiwemo kuendesha zoezi
la bomobomoa, huwaeleza wananchi kwamba yeye ndiye amewatuma.
Tazama BMG Online TV hapa chini
No comments: