HATARI: Ukosefu wa madaraja msimu wa mvua
Wasiliana na BMG kupitia 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com kwa huduma ya Habari na Matangazo.
Wakazi wa Mtaa
wa Kilaba Kata ya Buswelu Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza wameiomba serikali
kuwajengea madaraja katikabarabara kuu ya mtaa huo ili kuwaondolea adha ya
usafiri wanayoipata katika msimu wa mvua.
Wamesema
katika kipindi cha mvua hatari ni kubwa hususani kwa wanafunzi kwani mara
kadhaa wamenusurika kusombwa na maji. Tazama BMG Online TV hapa chini
No comments: