Serikali yazindua zoezi la ugawaji vitabu vya kiada na uongozi
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Serikali imewataka
walimu nchini kuhakikisha wanatoa vitabu vya kujifunzia kwa wanafunzi na kuacha
kutoa sababu kwamba wanapovitoa huwa vinachakazwa na wanafunzi.
Katibu Mkuu Wizara
ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dkt. Avermaria Semakafu ameyasema hayo leo kwa
niaba ya Waziri wa Elimu, Sanyansi na Teknolijia, Profesa Joyce Ndarichako kwenye
uzinduzi wa kitaifa wa zoezi la usambazaji wa vitabu vya kiada na uongozi
ambavyo ni vya mtaala mpya wa darasa la tano, uliofanyika katika Shule ya
Sekondari Nyankumbu mkoani Geita.
Tazama BMG Online TV hapa chini
Na Joel Maduka, Geita
No comments: