Mwenyekiti Jumuiya ya Wazazi CCM wilayani Nyamagana ang'atuka rasmi
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Mwenyekiti
wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Nyamagana mkoani
Mwanza, Charles Nyamasiriri (aliyesimama) amejiuzulu rasmi nafasi hiyo na kutoa fursa ya
uchaguzi wa kumpata Mwenyekiti mpya kufanyika.
Nyamasiriri
alijiuzulu nafasi hiyo kwa mjibu wa Katiba ya CCM baada ya kuchaguliwa kuwa diwani
wa Kata ya Isamilo katika uchaguzi mdogo uliofanyika Aprili 2018 ambapo
uchaguzi wa kumpata Mwenyekiti anayechukua nafasi hiyo unafanyika hii leo
katika ukumbi wa "Gand Hall" Jijini Mwanza.
Na George Binagi-GB Pazzo, BMG
Tazama BMG Online TV hapa chini
SOMA>>> Shughuli za CCM Mkoa Mwanza
No comments: