Maadili yasisitizwa kwenye maombi ya kuliombea Taifa mkoani Geita
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Na Joel Maduka, Geita
Maadili
yamesisitizwa kwenye maombi maalum ya kuliombea Taifa chini ya Rais Dkt. John Pombe
Magufuli, Rais Mstaafu Ally Hassan Mwinyi pamoja na Mama mzazi wa Rais Magufuli
ambao wanaumwa.
Maombi hayo
yaliandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi UVCCM wilayani Geita kwa
kushirikiana na Umoja wa Wanawake wa Baraza Kuu la Waislamu BAKWATA mkoani
Geita.
No comments: