Machinga Mwanza watofautiana suala la vitambulisho vya JPM
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Na George Binagi-GB Pazzo, BMG
Viongozi wa
wafanyabiashara wadogo (machinga) mkoani Mwanza, wamekuwa na mitazamo tofauti
kuhusiana na zoezi la ugawaji vitambulisho vya wafanyabiashara wadogo
vinavyotolewa na Serikali kwa gharama ya shilingi elfu 20 kwa mwaka.
Karibu BMG
Online TV kujua walichozungumza hii jana Februari 04, 2019 baada ya Mkuu wa Mkoa
Mwanza, John Mongella kuwakabidhi Wakuu wa Wilaya vitambulisho elfu 55 vya awamu
ya pili kwa ajili ya wafanyabiashara wadogo. Awamu ya kwanza Mkoa Mwanza
ulipokea vitambulisho elfu 25.
Tazama BMG Online TV hapa chini
No comments: