FUTUHI walivyovunja mbavu za watu mbele ya Waziri Mkuu
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Futuhi ni kundi la vichekezo kutoka Jijini Mwanza ambalo hurusha vipindi vyake kila alhamisi saa 21:30 kupitia Star TV. Hapa Braza K na Gonga wako tayari kuzitekenya mbavu zako.
Tazama BMG Online TV hapa chini
No comments: