LIVE STREAM ADS

Header Ads

Hii hapa fursa nyingine ya upatikanaji wa viwanja jijini Dodoma

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com

Wale wote wenye maono ya kuanzisha makazi ama biashara katika Mji Mkuu wa Tanzania, Dodoma wanatangaziwa kwamba zoezi la uuzaji viwanja kwa gharama nafuu katika eneo la Makula jirani na Mji wa Serikali limeanza rasmi.

Bei za viwanja ni shilingi 8,000 kwa kila Square Meter moja ambapo mazungumzo yapo kwa yeyote mwenye nia ya kununua kiwanja/ viwanja vilivyopimwa katika eneo hilo la Makula huku vikifikika kwa urahisi.

Unahimizwa kuchangamkia fursa hii kwa kuwasiliana na Dkt. Philipo Zabron kwa nambari za simu 0757 192 216 kwani mahitaji ya viwanja jijini Dodoma ni makubwa.
Kumbuka viwanja vimepimwa na vinafikika kwa urahisi.

No comments:

Powered by Blogger.