LIVE STREAM ADS

Header Ads

Zoezi la uuzaji viwanja jijini Dodoma laanza rasmi

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Mabibi na Mabwana, wale wote wenye kiu ya kumiliki viwanja Makao Makuu ya Tanzania, Dodoma, wanatangaziwa kwamba zoezi la uuzaji viwanja vilivyopimwa katika eneo la Mzani Nala limefunguliwa rasmi.

Ukubwa wa viwanja ni kuanzia Square Meter 600 hadi 2,000 na vinafaa kwa matumizi ya makazi na biashara kwa gharama nafuu kuanzia shilingi Milioni 3.5. Kumbuka eneo hili linafikika kwa urahisi likiwa na miundombinu bora ya mabaraba, maji pamoja na umeme.

Ili kunufaika na fursa hii, utalipa asilimia 50 na kumilikishwa kiwanja huku gharama zinazosalia ukilipa kwa awamu tatu. Wasiliana na Dkt. Danford Muyango kwa nambari za simu 0752 37 38 99 ama Dkt. Fred Maro kupitia simu nambari 0764 10 92 26 ili nawe umiliki kiwanja jijini Dodoma.

No comments:

Powered by Blogger.