Shule iliyokosa waalimu wa kike tangu 2017 wilayani Bunda "yapelekewa wawili"
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Halmashauri
ya Wilaya Bunda mkoani Mara imeanza jitihada za kuwapeleka waalimu wa kike
katika Shule mbalimbali za Msingi na Sekondari ambazo hazikuwa na waalimu hao
kwa muda mrefu.
Mkurugenzi
wa Halmashauri hiyo, Mwl. Amos Kusaja aliyasema hayo wakati akizunguma na
wanahabari siku chache baada ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mihingo
kulalamikia ukosefu wa mwalimu wa kike shuleni hapo tangu mwaka 2017.
Tazama BMG Online TV hapa chini
No comments: