HOJA ZA CAG "Madiwani Misungwi wamtaka Mkurugenzi kujipanga"
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Madiwani wa
Halmashauri ya Wilaya Misungwi mkoani Mwanza wameitaka Ofisi ya Mkurugenzi wa
Halmashauri hiyo, kujipanga na kuhakikisha hakuna upotevu wa nyaraka za
matumizi ya fedha kama ilivyojitokeza kwenye hoja za Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG).
Tazama BMG Online TV hapa chini
No comments: