LIVE STREAM ADS

Header Ads

TCRA yaja na mwarobaini usajili wa laini za simu kwa alama za vidole

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Ziwa kwa kushirikiana na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) pamoja na watoa huduma za mawasiliano ya simu, imeanzisha kampeni maalum ya usajili wa laini za simu kwa njia ya vidole ili kuwafikia wananchi wengi kabla ya mwisho wa zoezi hilo Disemba 31, 2019.

Akizungumza Septemba 27, 2019 na waandishi wa habari jijini Mwanza, Mkuu wa Mamlaka hiyo, Mhandisi Francis Mihayo amesema kampeni hiyo itaongeza kasi ya usajili wa laini za simu kwa alama za vidole na hivyo kuwafikia wananchi wengi wakiwemo wa visiwani.
Tazama BMG Online TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.