Wazazi mkoani Mwanza watakiwa kuwapeleka watoto kupata chanjo
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Kwa Mkoa Mwanza, zaidi ya watoto laki
sita (watoto 637,579) wanatarajiwa kupewa chanjo ya Rubella na Polio huku
watakaopewa chanjo ya Surua wakitarajiwa kuwa zaidi ya elfu sitini (watoto
266,140) hivyo kufanya jumla ya watoto wanaotarajiwa kuchanjwa kuwa laki tisa
elfu tatu mia saba kumi na tisa (watoto
903,719).
Kitaifa uzinduzi wa zoezi hilo umefanyika mkoani Morogoro, Oktoba 17,
2019.
Na George Binagi-GB Pazzo, BMG
Mkuu wa Mkoa Mwanza, John Mongella akizungumza kwenye uzinduzi wa zoezi la utoaji chanjo dhidi ya Surua, Rubella na Polio.
Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Zainab Chaula akitoa salamu za Wizara kwenye uzinduzi wa zoezi la utoaji chanjo mkoani Mwanza.
Tazama BMG TV ONLINE hapa chini
No comments: