LIVE STREAM ADS

Header Ads

Juma la Elimu ya Watu Wazima laadhimishwa wilayani Misungwi

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Afisa Tawala Wilaya Misungwi mkoani Mwanza, Zubeda Kimaro akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya Misungwi, Juma Sweda kwenye Maadhimisho ya Juma la Elimu ya Watu Wazima Duniani 2019 yaliyofanyika kiwilaya katika Kata ya Ukiriguru, Oktoba 03, 2019.
Na George Binagi-GB Pazzo, BMG
Afisa Elimu Msingi Wilaya Misungwi, Mwl. Frank Magabiko akizungumza kwenye maadhimisho hayo kwa niaba ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Misungwi, Kisena Mabuba.
Afisa Elimu Watu Wazima Wilaya Misungwi, Mwl. Lusian Malungo akifafanua jambo kwenye maadhimisho hayo.
Mgeni rasmi, Zubeda Kimaro akikabidhi cheti kwa mmoja wa wahitimu wa mafunzo ya elimu ya watu wazima wilayani Misungwi.
Mmoja wa wahitimu elimu ya watu wazima wilayani Misungwi aakipokea cheti kutoka kwa mgeni rasmi.
Mgeni rasmi, Zubeda Kimaro akikabidhi cheti kwa mmoja wa wahitimu wa mafunzo ya elimu ya watu wazima wilayani Misungwi.
Wahitimu mbalimbali wa mafunzo na elimu ya watu wazima wilayani Misungwi walipokea vyeti kwenye maadhimisho hayo.
Mgeni rasmi, Zubeda Kimaro akiwa ameambatana na viongozi mbalimbali kukagua bidhaa zinazotengenezwa na wanufaika wa elimu ya watu wazima wilayani Misungwi.
Mgeni rasmi, Zubeda Kimaro akikagua bidhaa mbalimbali zinazotengenezwa na wanufaika wa elimu ya watu wazima wilayani Misungwi.
Mgeni rasmi, Zubeda Kimaro akiwa ameambatana na viongozi mbalimbali kukagua bidhaa zinazotengenezwa na wanufaika wa elimu ya watu wazima wilayani Misungwi.
Burudani ya ngoma za asili kutoka kwa wanafunzi.
Tazama BMG TV ONLINE hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.