Zoezi la ugawaji bure vyandarua mashuleni lazinduliwa mkoani Mwanza
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Mkuu wa Mkoa
Mwanza, John Mongella amezindua rasmi zoezi la ugawaji bure vyandarua vyenye
dawa ya kuua mbu kwa wanafunzi wa Shule za Msingi ikiwa ni sehemu ya
utekelezaji afua mbalimbali za kupambana na Malaria.
Uzinduzi huo
umefanyika Oktoba 10, 2019 katika Shule ya Msingi Nyanza jijini Mwanza ambapo
jumla ya Shule za Msingi 976 mkoani Mwanza zitafikiwa na zoezi hilo
litakalodumu kwa muda wa wiki mbili kuanzia tarehe 09-23 Oktoba, 2019.
Tazama BMG ONLINE TV hapa chini
SOMA>>> Habari mbalimbali za Malaria
No comments: