Mkurugenzi SBFIC Tanzania asisitiza umuhimu wa elimu ya kifedha mashuleni
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Mkurugenzi wa Shirika la SBFIC (Savings Banks Foundation for International Coorperation) tawi la Tanzania, Stephen Safe akizungumza kwenye maadhimisho ya Wiki ya Akiba Duniani katika uwanja wa Furahisha mkoani Mwanza, Oktoba 26, 2019.
Na George Binagi-GB Pazzo, BMG
Ujumbe maridhwa kwenye maadhimisho hayo.
Benki ya Akiba ni miongoni mwa wadau waliofanikisha maadhimisho hayo.
Waalimu wa Shule mbalimbali mkoani Mwanza zilizoshiriki maadhimisho hayo.
Wawakilishi wa taasisi mbalimbali wakiwa kwenye picha ya pamoja.
Viongozi wa taasisis mbalimbali mkoani Mwanza wakiwa kwenye picha ya pamoja.
Picha ya pamoja.
Wawakilishi wa taasisi mbalimbali wakiwa kwenye picha ya pamoja.
Picha ya pamoja.
Tazama BMG TV ONLINE hapa chini
No comments: