Wafanyabiashara waliobaki Soko Kuu jijini Mwanza watakiwa kuhama kwa hiari
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Jumanne Oktoba 08, 2019 Mkuu wa Mkoa
Mwanza, John Mongella (katikati), Katibu Tawala Mkoa Mwanza, Christopher Kadio (kushoto) pamoja na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Kiomoni Kibamba (kulia) wakiwasili kukagua Soko jipya la Mbugani na kuzungumza na wafanyabiashara waliohamia sokoni hapo baada ya kupisha ujenzi wa kisasa wa Soko Kuu jijini Mwanza.
Tazama BMG TV ONLINE hapa chini
No comments: