Mnyika akalia kiti kama alichokalia Nyerere akidai Uhuru
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Katibu Mkuu
CHADEMA Taifa, John Mnyika akiwa mapumziko nyumbani jijini Mwanza, Disemba 29,
2019 alisimikwa na wazee wa chama hicho kuwa Mtemi wa Wasukuma (Nasa) na kupewa
jina la Malonja likiwa na maana ya Mrekebishaji.
Tazama BMG TV hapa chini
SOMA>>> Habari zinazohusiana
No comments: