Makondakta jijini Mwanza waunga mkono kauli ya Serikali kwa vitendo
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Viongozi na wanachama wa Umoja wa Makotandika jijini Mwanza (Umoja wa Vijana wa Daladala Stendi- UVDS), wakifanya usafi katika Hospitali ya Rifaa ya Wilaya Nyamagana mkoani Mwanza, Novemba 30, 2019 ikiwa ni utaratibu wa umoja huo kufanya usafi kila mwezi.
#BMGHabari
Umoja wa Makotandika jijini Mwanza (Umoja wa Vijana wa Daladala Stendi- UVDS), unatoa rai kwa wadau mbalimbali kuunga mkono jitihada za kuimarisha usafi kwa kuchangia vifaa vya usafi ili kuondoa uhaba walionao.
Tazama BMG TV ONLINE hapa chini
No comments: