LIVE STREAM ADS

Header Ads

Balozi Kairuki aanika fursa za kibiashara nchini China 'safari imeiva'

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
 Balozi wa Tanzania nchini China, Mbelwa Kairuki (pichani) ameeleza fursa lukuki za kibiashara katika sekta ya madini zilizopo nchini humo na kuwahimiza watanzania kuzichangamkia kwani ubalozi wao utawasaidia kila hatua.

Balozi Kairuki alibainisha fursa hizo Januari 24, 2020 jijini Mwanza wakati akizungumza kwenye mkutano wa wadau wa madini Tanzania uliolenga kujadili fursa za uwekezaji, teknolojia, mitaji na masoko ya madini huku akiwasihi wafanyabiashara wa madini Tanzania kujiandaa na safari ya kutembelea China mwezi ujao ili kusaka fursa mbalimbali katika sekta ya madini.
Na George Binagi-GB Pazzo, BMG
 Maafisa Madini kutoka mikoa ya Kanda ya Ziwa wakifuatilia mkutano huo.
 Wadau wa madini wakiwa kwenye picha ya pamoja na viongozi meza kuu.
Tazama BMG TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.