LIVE STREAM ADS

Header Ads

Tulinunua CARBON China, tukaletewa mkaa na poda- Mkurugenzi Busolwa Mining

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
 Mkurugenzi wa kampuni ya uchimbaji dhahabu ya Busolwa Mining, Baraka Ezekiel akizungumza kwenye mkutano wa wadau wa madini Tanzania kujadili fursa za uwekezaji, teknolojia, mitaji na masoko ya madini uliofanyika Januari 24, 2020 jijini Mwanza. Mkutano huo pia ulihudhuriwa na Balozi wa Tanzania nchini China, Mbelwa Kairuki.
Tazama BMG TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.