Biteko azidi kuchochea moto wa maendeleo Bukombe
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Mbunge wa Jimbo la Bukombe mkoani Geita, Doto Biteko ambaye pia ni Waziri wa Madini akizungumza na wakazi wa Kijiji cha Bulama kilichopo Kata ya Runzewe Mashariki jimboni humo kupitia mkutano wa hadhara uliofanyika Februari 26, 2020.
Tazama BMG TV hapa chini
SOMA>>> Habari zaidi kutoka Bukombe
No comments: