LIVE STREAM ADS

Header Ads

Mongella ashtukiza waalimu/ akumbana na wachelewaji/ watorokaji

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
 Mkuu wa Mkoa Mwanza, John Mongella Machi 11, 2020 amekagua ujenzi wa bweni la wasichana katika Shule ya Sekondari Mwanza na kisha kufuatilia mahudhurio ya waalimu katika Shule hiyo ambapo amekuta hali si shwari.
Na George Binagi-GB Pazzo, BMG
Ujenzi wa bweni la wasichana katika Shule ya Sekondari Mwanza ni sehemu ya utekelezaji wa ahadi ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli baada ya kuombwa na wanafunzi wa Shule hiyo alipofanya ziara jijini Mwanza,
Tazama BMG TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.