LIVE STREAM ADS

Header Ads

Siku ya Figo Duniani “Bugando yatoa huduma bure kwa wananchi”

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com

 Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando iliyopo jijini Mwanza Machi 12, 2020 imeadhimisha Siku ya Figo Duniani kwa kutoa bure huduma ya uchunguzi wa magonjwa ya Figo kwa wananchi.
Na George Binagi-GB Pazzo, BMG
Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando iliyopo jijini Mwanza imeboresha kitengo cha kusafisha figo na sasa wagonjwa wenye tatizo hilo  Kanda ya Ziwa hawasafiri umbali mrefu kwenda Hospitali ya Benjamin Mkapa jijini Dodoma ama Muhimbili jijini Dar es salaam kufuata huduma hiyo.
Tazama BMG TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.