LIVE STREAM ADS

Header Ads

Wilaya ya Ukerewe yapokea Vifaa Tiba kupambana na vifo vya uzazi

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com

Mkuu wa Mkoa Mwanza, John Mongella amepokea vifaa tiba vyenye thamani ya zaidi ya shilingi Milioni 10 kwa ajili kuvigawa katika Zahanati, Vituo vya Afya pamoja na Hospitali ya Wilaya ya Ukerewe.


Mongella alipokea vifaa hivyo kupitia mradi wa USAID Boresha Afya unaolenga kupambana na vifo vitokanavyo na uzazi kwa wanawake wajawazito na watoto chini ya umri wa miaka mitano.
Na George Binagi-GB Pazzo, BMG
Tazama BMG TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.