LIVE STREAM ADS

Header Ads

Tunanunua maji ndoo 60 “Serikali ituchangie sabuni”- Soko la Mwanza

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com

Wajasiriamali katika Soko la Mbugani jijini Mwanza wameiomba Serikali kuwasaidia gharama za kununua sabuni kwa ajili ya wananchi kunawa mikono kabla ya kuingia na kutoka katika soko hilo ikiwa ni sehemu ya tahadhari dhidi ya maambukizi ya Corona (Covid- 19).
Tazama BMG TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.