Wimbi la Ukatili wa Kijinsia ‘wanasingizia Corona’
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Inaelezwa baadhi
ya wanajamii wameanza kutumia mlipuko virusi vya Corona (Covid- 19) kutimiza
azma zao ovu za vitendo vya Ukatili wa Kijinsia hususani kwa watoto na
wanawake.
Hatua hiyo
imewaibua wanaharakati wa kupinga ukatili wa kijinsia mkoani Mwanza ambao
wamekuja na kampeni ya kuelimisha wanajamii ili kutotumia suala la Corona kama
kichocheo cha ukatili katika jamii.
Tazama BMG TV hapa chini
SOMA>>> Habari zinazohusiana na Corona
No comments: