LIVE STREAM ADS

Header Ads

SAUT “Chuo cha kwanza kutekeleza agizo la Waziri Mkuu”

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com

 Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino Tanzania (SAUT) kimekuwa Chuo cha kwanza Tanzania kuanzisha Dawati la Changamoto za Kijamii (Dawati la Jinsia) ili kushughulikia changamoto mbalimbali zinazowakabili wanafunzi na jamii nzima ya wanachuo.
Uzinduzi wa dawati hilo ulifanyika Jumatano Mei 27, 2020 ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa aliyeagiza vyuo vyote nchini kuanzisha madawati ya kusikiliza malalamiko na changamoto za wanafunzi ikiwemo tuhuma za rushwa ya ngono.
Tazama BMG TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.