LIVE STREAM ADS

Header Ads

Vyuo vimalize mitaala “bila kuathiri ubora”- TCU

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com

Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imevitaka vyuo vyote nchini kujiandaa na kuhakikisha hadi kufikia mwishoni mwa mwezi Oktoba 2020, wanafunzi wawe wamemaliza mitaala ya masomo kwa mwaka 2019/ 20.

Katibu Mkuu wa Tume hiyo, Prof. Charles Kihampa aliyasema hayo Mei 27, 2020 alipotembelea Chuo Kikuu Huria cha Tanzania tawi la Mwanza ili kuona maandalizi ya wanafunzi kuanza masomo kuanzia Juni Mosi 2020 baada masomo kusitishwa kutokana na janga la Corona.
Tazama BMG TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.