LIVE STREAM ADS

Header Ads

DC Misungwi akagua ujenzi wa Hospitali mpya ya Wilaya

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com

 Mkuu wa Wilaya Misungwi mkoani Mwanza, Juma Sweda amekagua maandalizi ya ujenzi wa Hospitali mpya ya Wilaya hiyo ambayo hadi kukamilika kwake itagharimu shilingi Bilioni moja kupitia mfumo wa “Force Account”. Tayari Halmashauri ya Wilaya Misungwi imepokea fedha za awali shilingi Milioni 500 kwa ajili ya ujenzi huo ambao umeanza rasmi Juni 10, 2020.
Tazama BMG Online TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.