LIVE STREAM ADS

Header Ads

Hospitali ya Bugando yaanza kutengeneza Vifaa Kinga

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com

Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando imeanza uzalishaji wa vifaa kinga mbalimbali ikiwemo barakoa, vitakasa mikono pamoja na mavazi maalumu ya wataalamu wa afya hatua ambayo itapunguza gharama za hospitali hiyo kuagiza vifaa hivyo.

Akizindua viwanda vya kuzalisha vifaa hivyo Juni 09, 2020, Mkuu wa Mkoa Mwanza John Mongella alimwagiza Mganga Mkuu Mkoa Mwanza kuhakikisha Waganga Wakuu wa Wilaya wananunua vifaa kinga vinavyozalishwa Bugando.
Tazama BMG ONLINE TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.