Aliyekuwa Katibu wa Mbunge Nyamagana ataja sababu za kugombea
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Mwanahabari,
Mwanaharakati na pia Mshauri na Saha, Florah Magabe ametia nia ya kuwania ya
kuomba ridhaa ya kuchaguliwa kuwa Mbunge wa Viti Maalum Mkoa Mwanza
akiwakilisha kundi la wafanyakazi.
Akirejesha
fomu Julai 16, 2020 katika Ofisi za CCM Mkoa Mwanza, Magabe ambaye pia alikuwa
Katibu wa Mbunge Jimbo la Nyamagana, Stanslaus Mabula ametaja sababu kadhaa
zilizomsukuma kuwania nafasi hiyo.
Tazama BMG ONLINE TV hapa chini
SOMA>>> Habari zinazohusiana
No comments: