LIVE STREAM ADS

Header Ads

Bashe afungua Maonesho ya Nanenane Kanda ya Ziwa Magharibi

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Naibu Waziri wa Kilimo Agosti 03, 2020 amefungua rasmi Maonesho ya Wakulima, Wauaji na Wavuvi (Sherehe za Nanenane) Kanda ya Ziwa Magharibi yanayofanyika katika viwanja vya Nyamhongolo jijini Mwanza kuanzia Agosti 01-08 2020 yakihusisha mikoa ya Mwanza, Geita na Kagera.
Tazama BMG ONLINE TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.