Maboto apania kulinyakua jimbo la Bunda Mjini
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Mgombea ubunge jimbo la Bunda Mjini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Robert Chacha Maboto (kulia) akirejesha fomu kwa Msimamizi wa Uchaguzi. Maboto aliahidi kulikomboa jimbo la Bunda Mjini mkoani Mara kutoka upinzani.
Na Asha Shaban, Mara
SOMA>>> Habari mbalimbali kutoka Bunda
No comments: