LIVE STREAM ADS

Header Ads

Wizara yavutiwa na Kituo cha watoto kupumzikia sokoni

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto anayeshughulikia Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii, Dkt. John Jingu amevutiwa na ujenzi wa Kituo cha Kupumzikia Watoto katika Soko la Kiloleli lililopo Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza na kuhimiza masoko mengine nchini kuwa na vituo vya aina hiyo.

Dkt. Jingu ameyasema hayo Agosti 24, 2020 alipofanya ziara ya kukagua ujenzi wa soko la kisasa Kiloleli unaojumuisha uboreshaji wa miundombinu mbalimbali ikiwemo Vyoo, Kituo cha Daladala pamoja na Kituo cha Watoto Kupumzikia/ na akina mama kunyonyeshea.
Tazama BMG ONLINE TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.