Wizara yavutiwa na Kituo cha watoto kupumzikia sokoni
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Dkt. Jingu ameyasema hayo Agosti 24, 2020 alipofanya ziara ya kukagua ujenzi wa soko la kisasa Kiloleli unaojumuisha uboreshaji wa miundombinu mbalimbali ikiwemo Vyoo, Kituo cha Daladala pamoja na Kituo cha Watoto Kupumzikia/ na akina mama kunyonyeshea.
Tazama BMG ONLINE TV hapa chini
No comments: