LIVE STREAM ADS

Header Ads

WATANZANIA wakumbushwa umuhimu wa kutunza AKIBA

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Watanzania wamehimizwa kuendeleza utamaduni wa matumizi sahihi ya fedha /na kujiwekea akiba kwa maendeleo yao ya baadae pamoja na utatuzi wa matatizo na changamoto mbalimbali.

Katika kufanikisha hilo, elimu ya fedha na utunzaji akiba pia imetolewa kwa wanafunzi zaidi ya elfu sita katika mikoa ya Mwanza na Kagera.

Mkurugenzi Mkazi wa taasisi ya SBFIC, Stephen Safe ametoa rai hiyo Oktoba 09, 2020 jijini Mwanza wakati akizungumza kwenye warsha ya kujengeana uwezo iliyowajumuisha washirika wa taasisi hiyo ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Wiki ya Akiba Duniani ambayo huadhimishwa mwezi Oktoba kila mwaka.
Na George Binagi-GB Pazzo, BMG
Washiriki wa warsha hiyo wakimsikiliza Mkurugenzi Mkazi wa taasisi ya SBFIC (Savings Banks Foundation for International Coorperation), Stephen Safe wakati akielezea shughuli za taasisi hiyo.
Mkurugenzi Mkazi wa taasisi ya SBFIC (Savings Banks Foundation for International Coorperation), Stephen Safe akifafanua jambo wakati wa warsha hiyo.
Mkufunzi wa Elimu ya Kifedha kutoka taasisi ya SBFIC, Tunu Kimea.
Tazama BMG ONLINE TV hapa chini

No comments:

Powered by Blogger.