Naibu Waziri wa Madini ashindwa kuapa mbele ya JPM Ikulu
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Naibu Waziri wa Madini, Francis Ndulane ambaye ni mbunge wa Kilwa Kaskazini ameingia kwenye vichwa vya habari baada ya kushindwa kuapa Ikulu jijini Dodoma.
Tazama BMG TV hapa chini
No comments: