Wewe umeshindwa kuapa, tutamteua mtu mwingine- Rais Magufuli
Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa Binagi Media Group. Mawasiliano 0757 43 26 94 ama binagimediagroup@gmail.com
Rais Dkt. John Pombe Magufuli amesema atamteua Naibu Waziri wa Madini baada ya Francis Ndulane ambaye ni mbunge wa Kilwa Kaskazini aliyemteua kushika nafasi hiyo kushindwa kuapa vizuri.
Tazama BMG TV hapa chini
No comments: